kafiri: mjini New York ni mtu asiyeamini Ukristo; mjini Istanbul ni mtu anayeamini Ukristo
|
kama vijana watakataa kibali yao hata mafia ya siri na yenye nguvu itatoweka kama njozi
|
kamusi ni kama kioo, ambamo mtu anayejua kuitumia anapata alichokikisi
|
kamusi ni ulimwengu kwa taratibu ya alfabeti
|
kanuni ya kwanza ya uandishi wa habari: kuziimarisha chuki zilizopo kuliko kuzipingana
|
katika shida kubwa sana watu wanakiamini kitu chochote
|
kazi ya mtalaamu si kuwa sahihi zaidi kuliko wote, bali ni kukosea kwa sababu za kiutata zaidi
|
kiasi cha watu unacho thamani yake ni sawa na kiasi cha lugha unachoongea
|
kicheko ni umbali mfupi kabisa kutoka mtu mpaka mwengine
|
kila kitambo chetu ni tofauti na vingine na sisi pia pia ni tofauti toka kitambo kimoja hadi kingine
|
kila neno lilikuwa msamiati mpya siku moja
|
kila wazo ni jambo lisilofuata tabia ya kutowaza
|
kinachotufananisha ni kwamba tunatofuatiana kila mmoja na mwingine
|
kisawe ni neno unalotumia usipojua kuandika neno ulilofikiria mwanzoni
|
kitabu kitakuwa wokovu wa binadamu wote
|
kitu chochote kilicho akilini kilikuwa katika hisia kwanza
|
kitu kinamzuia Mungu kuleta gharika la pili la maji ni kwamba la kwanza halikufaa
|
kivuli kinapotezwa kwenye mwanga mno... au giza mno
|
kizuizi cha kuelewa kazi ya sanaa ni kutaka kuielewa
|
kujuta na kuanza tena tokea mwanzo - hiyo ndiyo maisha
|
kuku jike ni njia ya yai ya kuzaa yai jingine
|
kumwoa mwanamke unaompenda na anayekupenda ni kushindana naye kuwa yule wa kwanza atakayeacha kumpenda mwingine
|
kuna nyakati, hali na mazingira ambako vurugu, na hivyo uuaji (vurugu ya juu kabisa), kwa asili inakuwa thabiti, dhahiri na uhalisia
|
kuna upeo wa hisia unaoonyesha upeo wa maisha, ambao maisha hayawezi kuendela nyuma yake. Hiyo ndiyo ajabu ya kuishi, hisia hii inafika wakati una uhai ikafika kama usahaulifu kamili wa kuwa uhai
|
kupanga maktaba ni njia nyamavu ya kuhakiki
|
kupora, kuua, kuiba, wanaita matendo hayo, kwa jina lisilo kweli, milki, na mahali ambapo wamepata jangwa wanapaita amani
|
kusema urafiki ni kusema uelewano kamili, kuamiana kwa mara moja na ukumbukaji wa kudumu; kwa neno jingine, uaminifu
|
kusoma ni kutafsiri, kwa sababu uzoefu wa watu wawili haufanani. Msomaji mbaya ni kama mfasiri mbaya. Unapojifunza kusoma, silika yako ni muhimu zaidi kuliko ujuzi
|
kutaka mambo yale yale na kutotaka mambo yale yale, hicho ndicho urafiki wa kweli
|
kutoka mambo yote ya uhakika, jambo la uhakika zaidi kuliko yote ni shaka
|
kutotaka ni kama kumiliki
|
kuwa mjana na kutokuwa mwanapinduzi ni mkingamo wa kibiolojia
|
kuwaitikia ndio watu wote na kwa vitu vyo vyote kunafanana na kutowepo
|
kwa hakika amani kabisa kati ya mume na mke ni kuachana
|
kwa kawaida, mambo mabaya yatendwayo kwa kisingizio kuwa yanatakiwa na maendeleo, si maendeleo yoyote, bali ni mabaya tu
|
kwa nini niwajali kizazi cha baadaye, hawa walinisaidia vipi?
|
kwa wanawake wengi njia fupi ya kufika ubora ni upole
|
kweli inawezekana kumsamehe mtu mjinga wa saa moja tu, wakati wako wengi wasioacha ujinga hata saa moja ya maisha yao
|
kwenye mafanikio marafiki wanatujua, kwenye taabu sisi tunawajua marafiki
|
kwenye mwanga wengi kivuli cheusi sana
|